Hakuna mpaka sasa anayeweza kupingana na ukweli wa umuhimu wa matumizi ya teknolojia mbalimbalia ikiwemo matumizi ya kompyuta kwa mawasiliano(Email), habari (Internet) na kwa kujifurahisha (browsing). Anyway, huo ni mtazamo wangu, wewe una mtazamo gani kwenye hili??
Sunday, August 3, 2008
MATUMIZI YA TECHNOLOJIA KWA MAWASILIANO NA URAHISI WA KAZI
Hakuna mpaka sasa anayeweza kupingana na ukweli wa umuhimu wa matumizi ya teknolojia mbalimbalia ikiwemo matumizi ya kompyuta kwa mawasiliano(Email), habari (Internet) na kwa kujifurahisha (browsing). Anyway, huo ni mtazamo wangu, wewe una mtazamo gani kwenye hili??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Sasa sam jamani masharti ya ofc yenu ni kuvaa suti au ndio ubunge huo? Inaonesha ni jinsi gani ulivyo mtu wa teknolojia ya kisasa kila mahali wewe na laptop tu, maziwa unakunywa lakini maana mambo ya mionzi hayo. Keep it up na mtazamo wako
Post a Comment